Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 30

Baba Yangu, Mungu Wangu, na Rafiki Yangu

Baba Yangu, Mungu Wangu, na Rafiki Yangu

(Waebrania 6:10)

  1. 1. Maisha iko nguvu,

    na watu wanahangaika.

    Lakini ninajua,

    “Kuko tumaini.”

    (REFREE)

    Mungu ni mwenye haki,

    atakumbuka kazi yangu.

    Iko karibu yangu;

    na hawezi kuniacha.

    Atanisaidia

    na kunilinda kila siku.

    Baba yangu, Mungu wangu,

    na Rafiki.

  2. 2. Sasa ninazeeka;

    Nguvu yangu inapunguka.

    Lakini naamini,

    Haiko njo mwisho.

    (REFREE)

    Mungu ni mwenye haki,

    atakumbuka kazi yangu.

    Iko karibu yangu;

    na hawezi kuniacha.

    Atanisaidia

    na kunilinda kila siku.

    Baba yangu, Mungu wangu,

    na Rafiki.

(Ona pia Zb. 71:17, 18.)