Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 33

Umutupie Yehova Muzigo Wako

Umutupie Yehova Muzigo Wako

(Zaburi 55)

  1. 1. Baba unisikilize.

    Ona magumu yangu.

    Nakuomba unijibu;

    tuliza moyo wangu.

    (REFREE)

    Umutupie Yehova

    muzigo na magumu yote.

    Hawezi kukuacha,

    atakupatia nguvu.

  2. 2. Kama ningekuwa ndege,

    ningeruka na kwenda

    Mbali na watu wabaya,

    nikuwe na amani.

    (REFREE)

    Umutupie Yehova

    muzigo na magumu yote.

    Hawezi kukuacha,

    atakupatia nguvu.

  3. 3. Mungu ananifariji

    na ananituliza.

    Hata nipate magumu

    Atanisaidia.

    (REFREE)

    Umutupie Yehova

    muzigo na magumu yote.

    Hawezi kukuacha,

    atakupatia nguvu.

(Ona pia Zb. 22:5; 31:1-24.)