Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 34

Nitatembea kwa Uaminifu-Mushikamanifu

Nitatembea kwa Uaminifu-Mushikamanifu

(Zaburi 26)

  1. 1. Tafazali, Yah, unihukumu;

    Na uone kama niko mwaminifu.

    Nichunguze na unijaribu;

    Nisafishe moyo na unibariki.

    (REFREE)

    Sitaacha hata kutembea kwa

    uaminifu-mushikamanifu.

  2. 2. Na sifanye hata urafiki na

    wadanganyifu, na watu wabaya.

    Tafazali, usiniharibu pamoja

    na wenye kupenda jeuri.

    (REFREE)

    Sitaacha hata kutembea kwa

    uaminifu-mushikamanifu.

  3. 3. Ninapenda sana nyumba yako.

    Nitakuabudu na nitakusifu.

    Nizunguke mazabahu yako,

    Wote wasikie ninakushukuru.

    (REFREE)

    Sitaacha hata kutembea kwa

    uaminifu-mushikamanifu.

(Ona pia Zb. 25:2.)