Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 43

Sala ya Shukrani

Sala ya Shukrani

(Zaburi 95:2)

  1. 1. Yehova Mungu ninasali kwako

    Ili kukushukuru kwa yote.

    Nitakutumikia sikuzote;

    Unanihangaikia sana.

    Ninafanyaka zambi kila siku;

    Baba naomba unisamehe,

    Unajua kama niko mavumbi.

    Aksanti sana kwa ukombozi.

  2. 2. Nakushukuru kwa upendo wako.

    Aksanti kwa kuniita kwako.

    Nisaidie nikutumikie.

    Nifundishe kuwa mwaminifu.

    Aksanti Yah! kwa roho takatifu,

    Pia kwa nguvu ya kuhubiri.

    Ninapenda kuwa munyenyekevu,

    Na kusema aksanti milele.