Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 44

Sala ya Mutu wa Hali ya Chini

Sala ya Mutu wa Hali ya Chini

(Zaburi 4:1)

  1. 1. Yehova nakuomba:

    ‘Sikia sala yangu.’

    Magumu yenye niko nayo

    iko ya mingi.

    Ninavunjika moyo na

    ninahangaika.

    Mungu wa faraja,

    ninaomba musaada.

    (REFREE)

    Niongoze, nifariji;

    Nipe nguvu nisimame.

    Eh! Yehova, nakuomba

    Nipatie nguvu mupya.

  2. 2. Nikichoka, Neno yako

    inanipa nguvu.

    Muko maneno yenye

    ningependa kusema.

    Nipe imani na nijue

    kama upendo

    Wako ni mukubwa kuupita

    moyo wangu.

    (REFREE)

    Niongoze, nifariji;

    Nipe nguvu nisimame.

    Eh! Yehova, nakuomba

    Nipatie nguvu mupya.