WIMBO 45
Mawazo ya Moyo Wangu
-
1. Yehova nisaidie
Kusudi maneno yangu
Na pia mawazo yangu,
Ikufurahishe sana.
Nikikosa usingizi,
Na kuhangaika sana,
Nikufikirie weye,
Na maneno yako yote.
-
2. Napenda kufikiria
Mambo yenye kuwa safi,
Yenye kustahili sifa,
ya kweli na ya muzuri.
Mawazo yako ni mingi,
Na tena ni ya muzuri.
Mungu nitafikiria
Neno yako kila siku.
(Ona pia Zb. 49:3; 63:6; 139:17, 23; Flp. 4:7, 8; 1 Ti. 4:15.)