Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 48

Tutembee na Yehova Kila Siku

Tutembee na Yehova Kila Siku

(Mika 6:8)

  1. 1. Tutembee na Yehova;

    Na tujishushe mbele yake.

    Kama tunamutafuta

    Atatuonyesha fazili!

    Sababu anatupenda,

    Tutatembea naye.

    Na tunajitoa kwake;

    Tumutumikie yeye.

  2. 2. Mu siku hizi za mwisho,

    Shetani anakasirika.

    Iko natutesa sana

    Ili tumuache Yehova.

    Lakini tujue kama

    Mungu atatulinda.

    Basi tumutumikie

    na kumupenda milele.

  3. 3. Yah anatusaidia

    Kwa kutumia roho yake,

    Pia Biblia na sala,

    Na kutaniko ya Kikristo.

    Tukifurahisha Mungu,

    Atatusaidia

    Tukuwe waaminifu

    Na kuwa wenye kiasi.