Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 52

Kujitoa na Kubatizwa

Kujitoa na Kubatizwa

(Waebrania 10:7, 9)

  1. 1. Ni Yehova aliumba

    Ulimwengu wote.

    Mbingu, dunia, bahari,

    Na vitu vingine.

    Alituumba na siye

    Kwa upendo wake.

    Kwa hiyo, tumusifu yeye,

    Tena tumuabudu.

  2. 2. Wakati alibatizwa,

    Yesu alisali:

    ‘Najitoa kwako baba

    Nikutumikie.’

    Na kisha njo akakuwa

    Mutiwa-mafuta,

    Na alimutii Yehova

    Maisha yake yote.

  3. 3. Baba ninakuya kwako

    Ili kukusifu.

    Na ninajitoa kwako,

    Nikutumikie.

    Ulitoa Mwana wako;

    Ni zawadi kubwa.

    Na miye ninakutolea

    Maisha yangu yote.