WIMBO 54
“Hii Ndiyo Njia”
-
1. Kuko njia
Yenye kuleta amani;
Ni ile njia
Yesu alifundisha;
Njia ya zamani
Yenye umejua.
Ile njia iko mu
Neno ya Mungu.
(REFREE)
Na hii njo njia ya uzima;
Usipime hata kuiacha!
Sikia, Mungu anasema:
‘Pita hapa, angalia mbele’.
-
2. Kuko njia
Yenye kuwa ya upendo.
Tutaipata
Tukimutii Mungu.
Ni mwenye upendo,
Na ni mwema sana.
Njia ya upendo,
Na ituongoze.
(REFREE)
Na hii njo njia ya uzima;
Usipime hata kuiacha!
Sikia, Mungu anasema:
‘Pita hapa, angalia mbele’.
-
3. Kuko njia
Yenye kuleta uzima.
Tusiiache;
Ni njia ya muzuri.
Njia ya amani,
Njia ya upendo,
Njia ya uzima.
Aksanti Yehova.
(REFREE)
Na hii njo njia ya uzima;
Usipime hata kuiacha!
Sikia, Mungu anasema:
‘Pita hapa, angalia mbele’.