WIMBO NA. 56
Fanya Kweli Iwe Njia Yako ya Maisha
-
1. Njia ya kweli, ni njia bora sana,
Uamuzi ni wako wewe.
Na mashauri ya Yehova utii;
Umtumaini Yeye.
(KORASI)
Shika ukweli.
Kwako uwe halisi.
Utapata shangwe
ya Yehova
Ukishika ukweli.
-
2. Bidii yako, na jitihada zako,
Katika kazi ya Ufalme,
Zitatokeza baraka za milele,
Na tumaini jangavu.
(KORASI)
Shika ukweli.
Kwako uwe halisi.
Utapata shangwe
ya Yehova
Ukishika ukweli.
-
3. Kama watoto, twahitaji mwongozo,
Mashauri na mwelekezo.
Na tutembee kila siku na Mungu;
Tupate baraka zake.
(KORASI)
Shika ukweli.
Kwako uwe halisi.
Utapata shangwe
ya Yehova
Ukishika ukweli.
(Ona pia Zab. 26:3; Met. 8:35; 15:31; Yoh. 8:31, 32.)