WIMBO 59
Tumusifu Yehova
-
1. Tusifu Yah Kwa sababu
Yeye njo mwenye alituumba.
Tumwimbie kila siku.
Iko mwenye upendo na nguvu.
Basi, tutangaze jina yake.
-
2. Tusifu Yah Kwa sababu
Anasikiaka sala zetu.
Anatia nguvu watu
Wenye walishachoka kabisa.
Anawapatia roho yake.
-
3. Tusifu Yah Kwa sababu
Anatufariji kila siku.
Kwa upendo, Atatosha
Mateso na kuleta baraka.
Mukuye tumusifu pamoja!
(Ona pia Zb. 94:18, 19; 145:21; 147:1; 150:2; Mdo. 17:25.)