Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 59

Tumusifu Yehova

Tumusifu Yehova

(Zaburi 146:2)

  1. 1. Tusifu Yah Kwa sababu

    Yeye njo mwenye alituumba.

    Tumwimbie kila siku.

    Iko mwenye upendo na nguvu.

    Basi, tutangaze jina yake.

  2. 2. Tusifu Yah Kwa sababu

    Anasikiaka sala zetu.

    Anatia nguvu watu

    Wenye walishachoka kabisa.

    Anawapatia roho yake.

  3. 3. Tusifu Yah Kwa sababu

    Anatufariji kila siku.

    Kwa upendo, Atatosha

    Mateso na kuleta baraka.

    Mukuye tumusifu pamoja!