Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 61

Tuende Mbele

Tuende Mbele

(Luka 16:16)

  1. 1. Watu wa Mungu wanapenda sana

    Kuhubiria watu habari njema.

    Hata Shetani awatese,

    Yehova anawapatia nguvu.

    (REFREE)

    Basi, tuende mbele na tusichoke,

    Tufanye kazi ya Mungu kwa furaha.

    Tutangaze kama hivi karibuni

    Mungu ataleta Paradiso.

  2. 2. Hatutafute mali ya dunia;

    Na kufurahisha wenye kutawala.

    Tunajitenga na dunia,

    Na tutabakia waaminifu.

    (REFREE)

    Basi, tuende mbele na tusichoke,

    Tufanye kazi ya Mungu kwa furaha.

    Tutangaze kama hivi karibuni

    Mungu ataleta Paradiso.

  3. 3. Watu wanauzarau Ufalme,

    Na wako nachafua jina ya Mungu.

    Basi tuende tuhubiri,

    Ili kuitakasa ile jina.

    (REFREE)

    Basi, tuende mbele na tusichoke,

    Tufanye kazi ya Mungu kwa furaha.

    Tutangaze kama hivi karibuni

    Mungu ataleta Paradiso.