Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 63

Tuko Mashahidi wa Yehova

Tuko Mashahidi wa Yehova

(Isaya 43:10-12)

  1. 1. Watu wanaabudu

    Sanamu na majiwe.

    Mungu Mweza-Yote,

    Hawamujue.

    Ile miungu yote

    Haiwezi kuona,

    Tena haina mashahidi

    Sababu ni ya uongo.

    (REFREE)

    Siye njo Mashahidi

    wa kweli wa Yehova.

    Mungu wetu akitabiri

    Lazima atimize.

  2. 2. Tuko tunafundisha

    Watu jina ya Mungu,

    Na tunahubiri

    Habari njema.

    Tunawasaidia

    Wajue kweli yake,

    Kusudi wapate uhuru,

    Na wamusifu milele.

    (REFREE)

    Siye njo Mashahidi

    wa kweli wa Yehova.

    Mungu wetu akitabiri

    Lazima atimize.

  3. 3. Tukifundisha watu

    Tunaheshimu Mungu.

    Tunahubiria

    Watu wabaya.

    Kama tu wanatubu,

    Yah atawasamehe.

    Kama wanamutumikia

    Njo watapata uzima.

    (REFREE)

    Siye njo Mashahidi

    wa kweli wa Yehova.

    Mungu wetu akitabiri

    Lazima atimize.