Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 64

Kufanya Kazi ya Mavuno kwa Furaha

Kufanya Kazi ya Mavuno kwa Furaha

(Matayo 13:1-23)

  1. 1. Tuko wakati wa mavuno, ni pendeleo kabisa.

    Na mashamba iko tayari; ni wakati wa kuvuna.

    Yesu ni mufano muzuri, iko naongoza kazi;

    Tuko na pendeleo kabisa ya kutumika na yeye.

  2. 2. Kupenda Yehova na watu njo kuko kunatufanya

    Tuhubiri na kufundisha, mbele ya mwisho kufika.

    Yehova anatubariki; tuko na furaha sana.

    Tutaendelea kutumika kwa imani na bidii.