Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 78

‘Kufundisha Neno ya Mungu’

‘Kufundisha Neno ya Mungu’

(Matendo 18:11)

  1. 1. Wakati tunafundisha

    Neno ya Yehova,

    Anatubariki sana.

    Tuko na furaha.

    Tunajikaza kuiga

    Upendo wa Kristo,

    Wakati tunafundisha

    Watu kuhusu Mungu.

  2. 2. Siye wenye kufundisha

    Tunatii Mungu,

    Ili kwa matendo yetu

    Watu wamusifu.

    Tunaipenda Biblia

    na tunaisoma,

    Ili tuielewe

    Na kufundisha wengine.

  3. 3. Wakati tunafundisha,

    Tumuombe Mungu

    Atupatie hekima

    Na atuongoze.

    Tunapenda watu wote

    Na kuwafundisha,

    Ili nao pia

    Wafundishe watu wengine.