WIMBO 82
“Muache Mwangaza Wenu Uangaze”
-
1. Yesu alisema tuangazie
Watu wote bila kuwabagua,
Ili wasikie Neno ya Mungu.
Basi tuifundishe kwa watu wote.
-
2. Na tufanye kazi ya kuhubiri
Ufalme kwa wote na fasi yote.
Tuache Biblia ituongoze
Wakati tunaenda mu mahubiri.
-
3. Tunaangazia watu wengine
Kwa maneno na kwa matendo yetu.
Basi tusiache kutii Mungu
Na kumufurahisha maisha yote.
(Ona pia Zb. 119:130; Mt. 5:14, 15, 45; Kol. 4:6.)