WIMBO 84
Niko tayari kusaidia!
-
1. Eh! Yehova unajua
Mambo yenye ninapenda.
Na ulishanipatia
Kazi mingi ya kufanya.
(REFREE)
Napenda kufanya
Kazi ya Mungu.
Huku ao kule, taenda
Kusaidia.
-
2. Ninaenda kuhubiri
Fasi yote kwenye kuko
Lazima ya wahubiri.
Nitawahangaikia.
(REFREE)
Napenda kufanya
Kazi ya Mungu.
Huku ao kule, taenda
Kusaidia.
-
3. Najifunza luga mupya
Ili nifundishe kweli.
Na mu kazi ya kujenga
Najitoa kwa bidii.
(REFREE)
Napenda kufanya
Kazi ya Mungu.
Huku ao kule, taenda
Kusaidia.
(Ona pia Yoh. 4:35; Mdo. 2:8; Ro. 10:14.)