Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 87

Tunatiana Moyo ku Mikutano

Tunatiana Moyo ku Mikutano

(Waebrania 10:24, 25)

  1. 1. Tuko naishi na watu wabaya

    Wenye hawajue Mungu.

    Tuko na lazima ya kuongozwa

    Ili tuishi muzuri.

    Mikutano inatusaidia

    Tukuwe na tumaini;

    Tunatiana moyo kwa maneno

    Kusudi tuvumilie.

    Hatutaacha kutii Yehova

    Na kusaidia watu.

    Ku mikutano tunajifunzaka

    Kuipenda sana kweli.

  2. 2. Yehova anatujua muzuri,

    Basi tumusikilize.

    Kukusanyika na ndugu na dada,

    Ni alama ya hekima.

    Tunafundishwa kuogopa Mungu

    Na kuonyesha imani.

    Tunajua ndugu wanatupenda,

    Na hatuko peke yetu.

    Mbele ya dunia mupya kufika

    Tusiache kukutana.

    Ku mikutano njo tunajifunza

    Hekima kutoka juu.