Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 100

Tukuwe Tayari Kukaribishana

Tukuwe Tayari Kukaribishana

(Matendo 17:7)

  1. 1. Yehova Mungu haiko muchoyo.

    Anasaidiaka watu wote.

    Hamuime mutu mvua wala jua.

    Anatupatia chakula.

    Tukisaidia watu wengine,

    Tunaiga Mungu mwenye upendo.

    Na tuko hakika atatubariki

    Kwa yote tuko tunafanya.

  2. 2. Kupatia watu kunaletaka

    Baraka zenye hatukuwazia.

    Basi tusiache kukaribishana;

    Tufanye kama vile Lidia,

    Na siye tuseme: ‘Karibu kwetu.’

    Tuwape chakula na hata maji.

    Kwa kweli Yehova hawezi sahau

    Wenye upendo na huruma.