WIMBO 104
Baba, Unipatie Roho Yako Takatifu
-
1. Yehova Baba mwenye huruma,
Unaujua moyo wangu.
Ninakuomba unitulize
Na unipatie roho yako.
-
2. Yehova niko mutenda-zambi,
Mara mingi nakoseaka.
Ninakuomba unisamehe,
Uniongoze kwa roho yako.
-
3. Na nikichoka, usiniache,
Unipatie nguvu mupya.
Tafazali unisaidie
Kupitia roho takatifu.
(Ona pia Zb. 51:11; Yoh. 14:26; Mdo. 9:31.)