Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 105

“Mungu Ni Upendo”

“Mungu Ni Upendo”

(1 Yohana 4:7, 8)

  1. 1. Vile Mungu ni upendo,

    Na siye tupendane.

    Tukipenda majirani

    Tutawasaidia.

    Kama hatuna upendo

    Tuko watu wa bure.

    Tupendane kama Kristo.

    Upendo haushindwe.

  2. 2. Tupendane kwa matendo,

    Hapana tu maneno.

    Na hata tukikosea

    Tusivunjike moyo.

    Upendo hauna wivu

    Na unavumilia.

    Tupende ndugu na dada

    Ili tubarikiwe.

  3. 3. Upendo wetu ukuwe

    Wa kutoka mu moyo.

    Tutumainie Mungu

    Ili atuongoze.

    Basi tumupende sana,

    Tupende na jirani.

    Hakuna mambo ingine

    zaidi ya upendo.