Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 111

Mambo Yenye Kufanya Tukuwe na Furaha

Mambo Yenye Kufanya Tukuwe na Furaha

(Matayo 5:12)

  1. 1. Kwa kweli tuko na furaha

    ya kutumikia Mungu.

    Tena watu wa kila inchi

    Wako najifunza kweli.

    Kujifunza Neno ya Mungu

    Kunatupatia nguvu;

    Na kweli yenye kuwa ndani

    Inaongeza imani.

    Hata wakati wa magumu,

    Hatutavunjika moyo.

    Tutatumainia Mungu

    Na atatusaidia.

    (REFREE)

    Yehova ni shangwe yetu,

    Na tena ni nguvu yetu.

    Mawazo yake na kazi zake

    Ni za ajabu kabisa.

  2. 2. Tukiangalia dunia,

    Mbingu na bahari pia;

    Tunaona kama Yehova

    Ni Muumbaji mukubwa.

    Tunahubiria wengine

    Kuhusu Ufalme wake,

    Wenye utaleta baraka

    Na furaha ku dunia.

    Sasa tuko tunangojea

    Mbingu na dunia mupya.

    Mateso yote itaisha

    Na tutaishi milele.

    (REFREE)

    Yehova ni shangwe yetu,

    Na tena ni nguvu yetu.

    Mawazo yake na kazi zake

    Ni za ajabu kabisa.