WIMBO 114
“Mukuwe na Uvumilivu”
-
1. Yehova Mungu wetu
Anapenda jina yake.
Na sasa watu wengi
Wameichafua sana.
Lakini kwa upendo
Iko navumilia,
Sababu anapenda
Wote wamujue.
Na anaendelea
Kuwa na uvumilivu,
Mupaka watu wengi
Waweze kuokolewa.
-
2. Kwa hiyo, siye pia
Tukuwe wavumilivu.
Tumuige Yehova,
Tuepuke kasirani;
Tena tusikazie
Makosa ya wengine.
Tukipata magumu,
Tumuombe Mungu
Atupatie nguvu,
Tuweze kuvumilia;
Na tukifanya vile
Tutakuwa na furaha.
(Ona pia Kut. 34:14; Isa. 40:28; 1 Ko. 13:4, 7; 1 Ti. 2:4.)