Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 119

Tunapaswa Kuwa na Imani

Tunapaswa Kuwa na Imani

(Waebrania 10:38, 39)

  1. 1. Zamani Yehova alisema

    Kupitia manabii.

    Leo kupitia Yesu Kristo

    Anasema tutubu.

    (REFREE)

    Tuko na imani kweli?

    Kusudi tuokolewe,

    Lazima ikuwe nguvu;

    Na tuionyeshe kwa matendo.

  2. 2. Yesu alisema tuhubiri

    Ufalme kwa watu wote,

    Tena tuwaambie ahadi

    Zote za Mungu wetu.

    (REFREE)

    Tuko na imani kweli?

    Kusudi tuokolewe,

    Lazima ikuwe nguvu;

    Na tuionyeshe kwa matendo.

  3. 3. Imani yetu ni kama ngao,

    Njo maana hatuchoke.

    Karibuni tutaokolewa;

    Basi tusiogope.

    (REFREE)

    Tuko na imani kweli?

    Kusudi tuokolewe,

    Lazima ikuwe nguvu;

    Na tuionyeshe kwa matendo.