Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

WIMBO NA. 133

Mwabudu Yehova Ujanani

Mwabudu Yehova Ujanani

(Mhubiri 12:1)

  1. 1. Yehova Mungu anatupenda,

    Sisi ni wana na binti zake.

    Tunapomtumikia Yeye,

    Hutubariki na kututunza.

  2. 2. Tuwaheshimu wazazi wetu,

    Tuwaeleze hisia zetu.

    Tutapata kibali cha Mungu,

    Tutakuwa rafiki za Mungu.

  3. 3. Basi Yehova tumkumbuke,

    Sikuzote tuipende kweli.

    Tukifanya yote tuwezayo,

    Tutamfurahisha Yehova.