Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 135

Yehova Anakuomba “Ukuwe na Hekima”

Yehova Anakuomba “Ukuwe na Hekima”

(Mezali 27:11)

  1. 1. Kijana ukuwe na hekima sana,

    Nitumikie kwa moyo wako wote,

    Ili maadui waone ya kama

    Haulazimishwe kunitumikia.

    (REFREE)

    Nakupenda weye kijana,

    Ukuwe tu na hekima.

    Ufanye vile kwa kupenda,

    Furahisha moyo wangu.

  2. 2. Nipatie nguvu yako kwa furaha.

    Sitakuacha hata ukianguka.

    Wakikutukana ao kukucheka,

    Ukuwe hakika kama nakupenda.

    (REFREE)

    Nakupenda weye kijana,

    Ukuwe tu na hekima.

    Ufanye vile kwa kupenda,

    Furahisha moyo wangu.