Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 136

Yehova Atakupatia “Malipo Kamili”

Yehova Atakupatia “Malipo Kamili”

(Rutu 2:12)

  1. 1. Yehova kweli ni muaminifu,

    Na hawezi kusahau

    Watumishi wake waaminifu,

    Hata wapate magumu.

    Ukiacha nyumba na familia,

    Atakupatia ndugu

    Ili wakuwe marafiki wako.

    Na utaishi milele.

    (REFREE)

    Basi, Yehova akubariki,

    Na akulipe kwa kazi yako.

    Kwa hiyo umukimbilie.

    Haseme uongo, ni mwaminifu.

  2. 2. Inawezekana uwaze kama

    Maisha inachokesha.

    Magumu inaweza kuwa mingi

    Na inakuvunja moyo.

    Yehova anajua mambo yote;

    Usali, atasikia

    Na atakufariji kupitia

    Ndugu na pia Biblia.

    (REFREE)

    Basi, Yehova akubariki,

    Na akulipe kwa kazi yako.

    Kwa hiyo umukimbilie.

    Haseme uongo, ni mwaminifu.