Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 139

Wazia Uko mu Dunia Mupya

Wazia Uko mu Dunia Mupya

(Ufunuo 21:1-5)

  1. 1. Uwazie kila siku

    Uko na miye mu Paradiso;

    Hauchoke na maisha.

    Muko amani na furaha;

    Na Ufalme wa Yehova

    Unatawala fasi yote;

    Na hakuna tena watu wabaya.

    Tutamuimbia Mungu kwa furaha:

    (REFREE)

    “Yehova, Mungu, aksanti sana.

    Sasa mambo inabadilika.

    Tunakuimbia ili kukusifu,

    Kukuheshimia na kukushukuru.”

  2. 2. Pima tena kuwazia

    Tuko sasa mu dunia mupya,

    Na hamuna maumivu,

    Hamuna woga wala kifo.

    Sasa waza, unaona

    Ndugu yako anafufuka.

    Ahadi za Mungu zinatimia!

    Tutakumbatiana na tutaimba:

    (REFREE)

    “Yehova, Mungu, aksanti sana.

    Sasa mambo inabadilika.

    Tunakuimbia ili kukusifu,

    Kukuheshimia na kukushukuru.”