Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 141

Uzima Ni Muujiza

Uzima Ni Muujiza

(Zaburi 36:9)

  1. 1. Kila mutoto, na mvua yote,

    Na jua na chakula: ni zawadi.

    Yehova Mungu njo Muumbaji.

    Na kila siku tuko tunashangaa.

    (REFREE)

    Mu maisha yetu, tufanye nini?

    Tumupende sana Yehova, Muumbaji.

    Tukumbuke kama, uzima wetu ni

    Zawadi ya Mungu, na ni muujiza.

  2. 2. Watu wengine wako nasema

    Kama: “Laani Mungu na ukufe.”

    Hatutaiga watu wa vile;

    Uzima ni zawadi tutaulinda.

    (REFREE)

    Mu maisha yetu, tufanye nini?

    Tumupende sana Yehova, Muumbaji.

    Tukumbuke kama, uzima wetu ni

    Zawadi ya Mungu, na ni muujiza.