Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 142

Tusiache Tumaini Yetu

Tusiache Tumaini Yetu

(Waebrania 6:18, 19)

  1. 1. Watu wako wanatembea mu giza

    Na wanafuatilia upepo.

    Iko nguvu wakomboe wengine

    Sababu hawakamilike.

    (REFREE)

    Tuko natumainia kama

    Ufalme wa Mungu uko karibu.

    Utamaliza magumu yote.

    Kwa hiyo, tuimbe na tufurahi.

  2. 2. “Siku ya Mungu iko karibu” sana

    Tusiwaze kama inakawia,

    Na sasa hivi tutakombolewa

    Basi tumusifu Yehova.

    (REFREE)

    Tuko natumainia kama

    Ufalme wa Mungu uko karibu.

    Utamaliza magumu yote.

    Kwa hiyo, tuimbe na tufurahi.