Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 143

Uendelee Kufanya Kazi, Kukesha, na Kungojea

Uendelee Kufanya Kazi, Kukesha, na Kungojea

(Waroma 8:20-25)

  1. 1. Yehova njo anajua,

    Mambo yenye itakuya.

    Tena hivi karibuni,

    Kweli atatetewa.

    (REFREE)

    Fanya kazi na uendelee

    Kukesha na kungojea

    Baraka za milele.

  2. 2. Siku Yesu atatosha

    Wote wenye kutesana,

    Ilishakatayarishwa.

    Tutafurahi sana.

    (REFREE)

    Fanya kazi na uendelee

    Kukesha na kungojea

    Baraka za milele.

  3. 3. Hatutavunjika moyo

    Hata kukuwe mateso.

    Siku ya Yehova Mungu

    Iko karibu sana.

    (REFREE)

    Fanya kazi na uendelee

    Kukesha na kungojea

    Baraka za milele.