Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 147

Ahadi ya Uzima wa Milele

Ahadi ya Uzima wa Milele

(Zaburi 37:29)

  1. 1. Wenye haki watapata

    Uzima wa milele.

    Ni ahadi ya Yehova,

    Haseme uongo.

    (REFREE)

    Basi, tujikaze

    Ili tufikie

    Kuishi milele

    Mu Paradiso.

  2. 2. Mu dunia mutakuwa

    Amani na uhuru.

    Watu watakamilika.

    Ni ajabu sana!

    (REFREE)

    Basi, tujikaze

    Ili tufikie

    Kuishi milele

    Mu Paradiso.

  3. 3. Kilio hakitakuwa,

    Wala maombolezo.

    Wale wenye walikufa

    Watafufuliwa.

    (REFREE)

    Basi, tujikaze

    Ili tufikie

    Kuishi milele

    Mu Paradiso.