Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

WIMBO NA. 148

Yehova Huokoa

Yehova Huokoa

(2 Samweli 22:1-8)

  1. 1. Yehova Mungu wetu uliye hai.

    Kazi zako kuu,

    mbingu na dunia.

    Ndiwe Mungu pekee, Mweza-yote

    ​—milele.

    Wakujue wewe.

    (KORASI)

    Yehova huokoa wa’minifu.

    Wamwone kuwa Mungu wa nguvu nyingi.

    Kwa bidii na ujasiri

    sisi sote,

    Twatangaza jina kuu

    lake Yehova.

  2. 2. Japo kuna kifo, nakutegemea,

    “Yehova unipe,

    ujasiri, nguvu.”

    Toka hekalu lako,

    usikie, ‘Nifiche,

    Niokoe, Mungu.’

    (KORASI)

    Yehova huokoa wa’minifu.

    Wamwone kuwa Mungu wa nguvu nyingi.

    Kwa bidii na ujasiri

    sisi sote,

    Twatangaza jina kuu

    lake Yehova.

  3. 3. Utakaponguruma

    kutoka juu.

    Maadui wako,

    waingiwe hofu.

    Wakutumikiao, wafurahi.

    Wajue

    U Mwokozi wetu.

    (KORASI)

    Yehova huokoa wa’minifu.

    Wamwone kuwa Mungu wa nguvu nyingi.

    Kwa bidii na ujasiri

    sisi sote,

    Twatangaza jina kuu

    lake Yehova.