Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 148

Yehova Ni Mungu mwenye Kuokoa

Yehova Ni Mungu mwenye Kuokoa

(2 Samweli 22:1-8)

  1. 1. Yehova uko Mungu mwenye kuishi.

    Uliumba mbingu na dunia pia.

    Hakuna Muumbaji mwenye nguvu, hakuna

    Ni weye tu, Baba.

    (REFREE)

    Yehova, uko jiwe yenye nguvu

    Na watu wako, kweli utakomboa.

    Njo maana nitatangaza jina yako,

    Kwa sababu weye njo utaniokoa.

  2. 2. Hata nikuwe mu hatari ya kufa,

    “Nipatie nguvu, ninakulilia.”

    Kutoka mu hekalu yako safi, “sikia,

    Baba niokoe.”

    (REFREE)

    Yehova, uko jiwe yenye nguvu

    Na watu wako, kweli utakomboa.

    Njo maana nitatangaza jina yako,

    Kwa sababu weye njo utaniokoa.

  3. 3. Maadui wako watahangaika.

    Na ukinguruma watatetemeka.

    Siye tutafurahi; tunajua ya kama

    Utatuokoa.

    (REFREE)

    Yehova, uko jiwe yenye nguvu

    Na watu wako, kweli utakomboa.

    Njo maana nitatangaza jina yako,

    Kwa sababu weye njo utaniokoa.