SANDUKU LA KUFUNDISHIA LA 6A
“Nyoa Kichwa Chako na Ndevu Zako”
Ezekieli aliigiza matukio ambayo yangetokea baada ya muda mfupi huko Yerusalemu
-
“Nyoa”
Wayahudi wangeshambuliwa na kuangamizwa
-
‘Pima na Kuzigawa’
Hukumu itatekelezwa kwa makini na kikamili
-
‘Teketeza’
Baadhi ya watu wangekufa jijini
-
‘Piga kwa Upanga’
Baadhi ya watu wangeuawa nje ya jiji
-
‘Tawanya’
Baadhi ya watu wangeponyoka, lakini hawangepata amani
-
‘Funga’
Baadhi ya wahamishwa wangerudi Yerusalemu, na ibada safi ingerudishwa