KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 6A
“Nyoa Kichwa Chako na Ndevu Zako”
Ezekieli alionyesha mambo yenye ilikuwa karibu kutokea mu Yerusalemu
-
“Nyoa”
Wayahudi wangeshambuliwa na kuuawa
-
‘Upime na Ugawanye’
Hukumu ingetendeka mu njia yenye inapangwa na kwa ukamili
-
“Utateketeza”
Wamoja wangekufia ndani ya muji
-
“Utaipiga”
Wamoja wangeuawa inje ya muji
-
“Utaisambaza”
Wamoja wangeponyoka, lakini hawangekuwa na amani yoyote
-
‘Uzifunge’
Wahamishwa fulani wangerudia Yerusalemu, na ibada safi ingelindwa