Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

SANDUKU LA KUFUNDISHIA LA 7A

Mataifa Yaliyozunguka Yerusalemu

karibu 650-300 K.W.K.

Mataifa Yaliyozunguka Yerusalemu

MFUATANO WA MATUKIO (MIAKA YOTE NI K.W.K.)

  1. 620: Babiloni yaanza kuitawala Yerusalemu

    Nebukadneza amfanya mfalme wa Yerusalemu kuwa kibaraka

  2. 617: Babiloni wachukua mateka wa kwanza kutoka Yerusalemu

    Watawala, mashujaa wenye nguvu, na mafundi wapelekwa Babiloni

  3. 607: Babiloni yaharibu Yerusalemu

    Jiji lachomwa moto pamoja na hekalu lake

  4. Baada ya 607: Tiro ya nchi kavu

    Nebukadneza anashambulia Tiro kwa miaka 13. Anateka Tiro ya nchi kavu lakini jiji lililo kisiwani linabaki

  5. 602: Amoni na Moabu

    Nebukadneza ashambulia Amoni na Moabu

  6. 588: Babiloni yaishinda Misri

    Katika mwaka wa 37 wa utawala wake, Nebukadneza anaishambulia Misri

  7. 332: Tiro, jiji la kisiwani

    Jeshi la Ugiriki likiongozwa na Aleksanda Mkuu linaharibu jiji la kisiwani la Tiro

  8. 332 au mapema zaidi: Ufilisti

    Aleksanda ashinda Gaza, jiji kuu la Wafilisti

Maeneo Yaliyo Kwenye Ramani

  • UGIRIKI

  • BAHARI KUU

  • (BAHARI YA MEDITERANIA)

  • TIRO

  • Sidoni

  • Tiro

  • Samaria

  • Yerusalemu

  • Gaza

  • UFILISTI

  • MISRI

  • BABILONI

  • AMONI

  • MOABU

  • EDOMU