Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 7A

Mataifa Yenye Kuzunguka Yerusalemu

650 hivi-300 M.K.Y.

Mataifa Yenye Kuzunguka Yerusalemu

MUCHORO WA MATUKIO (MIAKA YOTE M.K.Y.)

  1. 620: Babiloni inaanza kutawala Yerusalemu

    Nebukadneza anafanya mufalme wa Yerusalemu kuwa mutawala mudogo

  2. 617: Babiloni inachukua watekwa wa kwanza kutoka Yerusalemu

    Watawala, wapiganaji-vita wenye nguvu, na mafundi wanapelekwa Babiloni

  3. 607: Babiloni inaharibu Yerusalemu

    Muji na hekalu lake vinateketezwa

  4. Kisha 607: Tiro, yenye ilikuwa ku inchi kavu

    Nebukadneza anashambulia Tiro mu miaka 13. Anashinda Tiro yenye ilikuwa ku inchi kavu, lakini muji wenye ulikuwa kisiwa unabakia

  5. 602: Amoni na Moabu

    Nebukadneza anavamia Amoni na Moabu

  6. 588: Babiloni inashinda Misri

    Mwaka wa 37 wa utawala wake, Nebukadneza anashambulia Misri

  7. 332: Tiro, muji wenye ulikuwa kisiwa

    Jeshi la Ugiriki, lenye kuongozwa na Aleksanda Mukubwa, linaharibu muji wa Tiro wenye ulikuwa kisiwa

  8. 332 ao mbele ya pale: Ufilisti

    Aleksanda anashinda Gaza, muji mukubwa wa Wafilisti

Fasi Kwenye Inapitikana ku Karte

  • UGIRIKI

  • BAHARI KUBWA

  • (BAHARI YA MEDITERANIA)

  • TIRO

  • Sidoni

  • Tiro

  • Samaria

  • Yerusalemu

  • Gaza

  • UFILISTI

  • MISRI

  • BABILONI

  • AMONI

  • MOABU

  • EDOMU