SANDUKU LA KUFUNDISHIA LA 8B
Unabii Kumhusu Masihi
1. “Yule Aliye na Haki ya Kisheria” (Ezekieli 21:25-27)
NYAKATI ZA MATAIFA (607 K.W.K.–1914 W.K.)
-
607 K.W.K.—Sedekia ang’olewa mamlakani
-
1914 W.K.—Yesu, yule aliye na “haki ya kisheria” ya kupokea Ufalme wa Kimasihi, awekwa kuwa Mfalme, na kuwa Mtawala na Mchungaji
Ezekieli 34:22-24)
2. “Mtumishi Wangu . . . Atawalisha na Kuwa Mchungaji Wao” (SIKU ZA MWISHO (1914 W.K.–BAADA YA HAR-MAGEDONI)
-
1914 W.K.—Yesu, yule aliye na “haki ya kisheria” ya kupokea Ufalme wa Kimasihi, awekwa kuwa Mfalme, na kuwa Mtawala na Mchungaji
-
1919 W.K.—Mtumwa mwaminifu na mwenye busara awekwa rasmi ili kuchunga kondoo wa Mungu
Watiwa mafuta waaminifu waunganishwa chini ya Mfalme wa Kimasihi; baadaye wanaunganishwa na umati mkubwa
-
BAADA YA HAR-MAGEDONI—Baraka za utawala wa Mfalme zitadumu milele
3. “Mfalme Mmoja Atawatawala Wote” Milele
SIKU ZA MWISHO (1914 W.K.–BAADA YA HAR-MAGEDONI)
-
1914 W.K.—Yesu, yule aliye na “haki ya kisheria” ya kupokea Ufalme wa Kimasihi, awekwa kuwa Mfalme, na kuwa Mtawala na Mchungaji
-
1919 W.K.—Mtumwa mwaminifu na mwenye busara awekwa rasmi ili kuchunga kondoo wa Mungu
Watiwa mafuta waaminifu waunganishwa chini ya Mfalme wa Kimasihi; baadaye wanaunganishwa na umati mkubwa
-
BAADA YA HAR-MAGEDONI—Baraka za utawala wa Mfalme zitadumu milele