Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 13A

Mahekalu Tofauti, Somo Tofauti

Mahekalu Tofauti, Somo Tofauti

Hekalu lenye Ezekieli alionaka mu maono:

  • Ezekieli njo alilifasiria wahamishwa Wayahudi kule Babiloni

  • Liko na mazabahu kwenye zabihu mingi zinatolewa

  • Linaonyesha kanuni za haki za Yehova kwa ajili ya ibada

  • Linakazia kurudishwa kwa ibada safi kwenye kulianza mu 1919

Hekalu Kubwa la Kiroho:

  • Lilifasiriwa na Paulo, mu barua yenye aliandikia Wakristo Waebrania

  • Liko na mazabahu kwenye zabihu moja tu ilitolewa, “mara moja kwa wakati wote” (Ebr. 10:10)

  • Linafasiria uhalisi wa kiroho wenye tabenakulo na mahekalu ilikuwa inaonyesha tangu zamani​—mupango wa Yehova kwa ajili ya ibada safi wenye unategemea zabihu ya ukombozi ya Kristo

  • Linakazia kazi yenye Kristo alifanya akiwa Kuhani Mukubwa Zaidi kuanzia 29 mupaka 33 K.K.Y.