Jumamosi
“Kuonyesha uhodari mwingi wa kulisema neno la Mungu bila woga.”—WAFILIPI 1:14
ASUBUHI
-
3:20 Video ya Muziki
-
3:30 Wimbo Na. 76 na Sala
-
3:40 MFULULIZO: Uwe Jasiri Ukiwa . . .
-
Mwanafunzi wa Biblia (Matendo 8:35, 36; 13:48)
-
Kijana (Zaburi 71:5; Methali 2:11)
-
Mhubiri (1 Wathesalonike 2:2)
-
Mwenzi wa Ndoa (Waefeso 4:26, 27)
-
Mzazi (1 Samweli 17:55)
-
Painia (1 Wafalme 17:6-8, 12, 16)
-
Mzee wa Kutaniko (Matendo 20:28-30)
-
Mwenye Umri Mkubwa (Danieli 6:10, 11; 12:13)
-
-
4:50 Wimbo Na. 119 na Matangazo
-
5:00 MFULULIZO: Waige, Si Waoga, Bali Wenye Ujasiri!
-
Usiige Wale Wakuu Kumi, Iga Yoshua na Kalebu (Hesabu 14:7-9)
-
Usiige Wakaaji wa Merozi, Iga Yaeli (Waamuzi 5:23)
-
Usiige Manabii wa Uwongo, Iga Mikaya (1 Wafalme 22:14)
-
Usiige Uriya, Iga Yeremia (Yeremia 26:21-23)
-
Usiige Yule Mtawala Tajiri, Iga Paulo (Marko 10:21, 22)
-
-
5:45 UBATIZO: “Sisi si Namna ya Watu Wanaorudi Nyuma”! (Waebrania 10:35, 36, 39; 11:30, 32-34, 36; 1 Petro 5:10)
-
6:15 Wimbo Na. 38 na Mapumziko
ALASIRI
-
7:35 Video ya Muziki
-
7:45 Wimbo Na. 111
-
7:50 MFULULIZO: Jifunze Ujasiri Kutokana na Uumbaji
-
Simba (Mika 5:8)
-
Farasi (Ayubu 39:19-25)
-
Nguchiro (Zaburi 91:3, 13-15)
-
Ndege Wavumaji (1 Petro 3:15)
-
Tembo (Methali 17:17)
-
-
8:40 Wimbo Na. 60 na Matangazo
-
8:50 MFULULIZO: Jinsi Ndugu Zetu Wanavyoonyesha Ujasiri . . .
-
Afrika (Mathayo 10:36-39)
-
Asia (Zekaria 2:8)
-
Ulaya (Ufunuo 2:10)
-
Amerika Kaskazini (Isaya 6:8)
-
Oceania (Zaburi 94:14, 19)
-
Amerika Kusini (Zaburi 34:19)
-
-
10:15 Uwe Jasiri Lakini Usijitegemee! (Methali 3:5, 6; Isaya 25:9; Yeremia 17:5-10; Yohana 5:19)
-
10:50 Wimbo Na. 3 na Sala ya Mwisho