Siku ya Yenga
“Ukuwe hodari na moyo wako ukuwe na nguvu. Ndiyo, umutumainie Yehova”—ZABURI 27:14
ASUBUI
-
3:20 (9:20) Video ya Muziki
-
3:30 (9:30) Wimbo Na. 73 na Sala
-
3:40 (9:40) HOTUBA YENYE SEHEMU SABA: Matukio ya Wakati Wenye Kuja Yenye Yataomba Uhodari
-
Tangazo la “Amani na Usalama!” (1 Wathesalonike 5:2, 3)
-
Kuharibiwa kwa Babiloni Mukubwa (Ufunuo 17:16, 17)
-
Kutangaza Ujumbe Wenye Kuwa Kama Mvua Kubwa ya Majiwe (Ufunuo 16:21)
-
Mashambulizi ya Gogu wa Magogu (Ezekieli 38:10-12, 14-16)
-
Harmagedoni (Ufunuo 16:14, 16)
-
Kazi Kubwa ya Kujenga Upya (Isaya 65:21)
-
Jaribu la Mwisho (Ufunuo 20:3, 7, 8)
-
-
5:10 (11:10) Wimbo Na. 8 na Matangazo
-
5:20 (11:20) HOTUBA YA WATU WOTE: Tumaini la Ufufuo Linatusaidia Tukuwe Hodari—Namna Gani? (Marko 5:35-42; Luka 12:4, 5; Yohana 5:28, 29; 11:11-14)
-
5:50 (11:50) Kifupi cha Munara wa Mulinzi
-
6:20 (12:20) Wimbo Na. 151 na Mapumuziko
KISHA MIDI
-
7:35 (13:35) Video ya Muziki
-
7:45 (13:45) Wimbo Na. 5
-
7:50 (13:50) FILME: Hadisi ya Yona—Somo Juu ya Uhodari na Rehema (Yona 1-4)
-
8:40 (14:40) Wimbo Na. 71 na Matangazo
-
8:50 (14:50) Wenye Kuwa Upande Wetu Ni Wengi Kuliko Wenye Hawako Upande Wetu! (Kumbukumbu la Torati 7:17, 21; 28:2; 2 Wafalme 6:16; 2 Mambo ya Nyakati 14:9-11; 32:7, 8, 21; Isaya 41:10-13)
-
9:50 (15:50) Wimbo wa Mwisho na Sala