Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Ulimwengu Umebadilika Tangu 1914

Ulimwengu Umebadilika Tangu 1914

Biblia inasimulia matukio, hali, na mitazamo ambayo ingetusaidia kutambua tunaishi katika “siku za mwisho.” (2 Timotheo 3:1) Ona jinsi ishara hizo zimeonekana wazi kwa njia kubwa tangu mwaka wa 1914.