Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Kushirikiana na Wengine

Kushirikiana na Wengine

Marafiki wetu wa muhimu zaidi ni nani?

Zb 25:14; Yoh 15:​13-15; Yak 2:23

Tazama pia Met 3:32

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mwa 5:​22-24—Enoko anasitawisha urafiki wa karibu na Mungu

    • Mwa 6:9—Noa anatembea pamoja na Mungu kama alivyofanya Enoko, babu yake

Kwa nini tunahitaji marafiki wazuri?

Met 13:20; 17:17; 18:24; 27:17

Tazama pia Met 18:1

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

Kwa nini tunahitaji kushirikiana kwa ukawaida na waabudu wenzetu wa Yehova?

Tunawezaje kuchagua marafiki wazuri?

Kwa nini ni hatari kushirikiana kwa ukaribu na watu ambao hawampendi Yehova?

Met 13:20; 1Ko 15:33; Efe 5:​6-9

Tazama pia 1Pe 4:​3-5; 1Yo 2:​15-17

Tazama pia “Urafiki na Ulimwengu

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

Je, tunapaswa kuepuka kabisa kushirikiana na watu wasiomwabudu Yehova Mungu?

Kwa nini ni kosa kufunga ndoa na mtu ambaye si mtumishi wa Yehova aliyejiweka wakfu na kubatizwa?

Tazama “Ndoa

Kwa nini hatupaswi kushirikiana na watu waliotengwa na kutaniko la Kikristo?