Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Urafiki

Urafiki

Nani njo marafiki wazuri zaidi wenye wanadamu wanaweza kuwa nao?

Zb 25:14; Yoh 15:​13-15; Yak 2:23

Ona pia Mez 3:32

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mwa 5:​22-24—Enoko anakomalisha urafiki wa karibu pamoya na Mungu

    • Mwa 6:9—Noa, iko na urafiki wa karibu pamoya na Mungu, sawa vile Enoko tate ya baba yake

Juu ya nini tuko na lazima ya marafiki wazuri?

Mez 13:20; 17:17; 18:24; 27:17

Ona pia Mez 18:1

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

Juu ya nini tunapaswa kila mara kupitisha wakati pamoya na waamini wenzetu?

Namna gani tunaweza kuanzisha urafiki wa muzuri?

Kukuwa na urafiki wa karibu pamoya na watu wenye hawamupende Yehova kuko na hatari gani?

Mez 13:20; 1Ko 15:33; Efe 5:​6-9

Ona pia 1Pe 4:​3-5; 1Yo 2:​15-17

Ona pia “Urafiki na Ulimwengu

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mwa 34:​1, 2—Dina anachagua marafiki wabaya, na ile inaleta matokeo ya mubaya sana

    • 2Ny 18:​1-3; 19:​1, 2—Yehova anamukaripia Mufalme muzuri Yehoshafati, juu anachagua kujiunga na Mufalme muovu Ahabu

Tunapaswa kuepuka kabisa uhusiano wowote na watu wenye hawamuabudu Yehova?

Juu ya nini ni jambo ya mubaya kuoa ao kuolewa na mutu mwenye hayakuwa mutumishi wa Yehova mwenye kujitoa kwake na kubatizwa?

Ona “Ndoa

Juu ya nini tunapaswa kuepuka uhusiano na wale wenye wametengwa na kutaniko ya Kikristo?