Kujigamba
Zb 94:4; 1Ko 13:4; Yak 3:5, 14
Tazama pia Met 21:24; Yer 9:23, 24
Masimulizi ya Biblia yanayohusika:
Amu 7:1-7—Yehova anapunguza idadi ya wanajeshi wa Mwamuzi Gideoni kufikia wanaume 300 ili kuthibitisha waziwazi kwamba ushindi utatoka Kwake
2Fa 18:28-35—Mfalme Senakeribu wa Ashuru ajigamba kupitia msemaji wake kwamba Yehova hawezi kuokoa Yerusalemu kutoka mikononi mwa Waashuru