Kujisifu
Zb 94:4; 1Ko 13:4; Yak 3:5, 14
Ona pia Mez 21:24; Yer 9:23, 24
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
Amu 7:1-7—Yehova anapunguza jeshi ya Muamuzi Gideoni na kuacha tu wanaume 300 Juu ya kuonyesha wazi kama ni kwake njo ushindi utatoka
2Fa 18:28-35—Kupitia wasemaji wake, Mufalme Senakeribu wa Ashuru anajisifu kama Yehova hawezi kuokoa Yerusalemu kutoka mu mikono ya Waashuru