Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Sikukuu

Sikukuu

Sikukuu zenye Wakristo wanafanyaka

Ni sikukuu gani moya tu yenye Wakristo wanapaswa kufanya?

Watu wa Mungu wanafurahiaka kukutana pamoya kwa ajili ya ibada

Kum 31:12; Ebr 10:​24, 25

  • Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:

Sikukuu zenye Wakristo hawafanyake

Juu ya nini ni mubaya kufanya sikukuu zenye zinapatana na mafundisho ya dini za uongo?

1Ko 10:21; 2Ko 6:​14-18; Efe 5:​10, 11

Ona pia “Muungano wa Madini

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Kut 32:​1-10—Waisraeli wanamukasirisha Yehova wakati wanajaribu kuchanga ibada ya kweli na ya uongo

    • Hes 25:​1-9—Yehova anapatia watu wake azabu juu wanajiingiza mu sikukuu za wapagani na mu mambo ya uasherati

Noeli ni sikukuu ya Kikristo?

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Lu 2:​1-5—Yesu anazaliwa wakati watu wako naandikishwa; inawezekana kabisa Waroma hawangeomba Wayahudi waasi wafanye safari juu ya kuenda kujiandikisha mu wakati ya baridi na mvua

    • Lu 2:​8, 12—Wakati Yesu anazaliwa, wachungaji wako na wanyama wao inje, kama Yesu alizaliwaka mu mwezi wa 12, haingewezekana wachungaji wabakie inje vile, juu kunakuwaka baridi sana

Wakristo wanapaswa kusherehekea sikukuu za kuzaliwa?

  • Habari za biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mwa 40:​20-22—Mufalme mupagani Farao anasherehekea sikukuu ya kuzaliwa kwake, na mutu fulani anauawa wakati wa ile sikukuu

    • Mt 14:​6-11—Mufalme muovu Herode mwenye anapinga wafuasi wa Kristo, anafanya sikukuu yake ya kuzaliwa, na Yohana Mubatizaji anauawa wakati wa ile sikukuu

Sikukuu zenye zinategemea Sheria ya Musa

Wakristo wanapaswa kufuata sheria ya Musa yenye inatia ndani sikukuu mbalimbali?

Wakristo wanapaswa kusherehekea Sabato ya kila juma?

Sikukuu za mataifa

Wakristo wanapaswa kufanya sikukuu ya mambo yenye serikali ya inchi ilitimiza

Wakristo wanapaswa kusherehekea vita za mataifa?

Wakristo wanapaswa kuunga mukono sherehe zenye zinatukuza sana wanadamu?

Kut 20:5; Ro 1:25

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mdo 12:​21-23—Mungu anamupatia Mufalme Herode Agripa I malipizi juu anaitika watu wamuabudu

    • Mdo 14:​11-15—Mutume Paulo na Barnaba wanakatala watu wawatukuze kupita kiasi

    • Ufu 22:​8, 9—Malaika wa Yehova anakatala kutukuzwa kupita kiasi