Kuwasaidia Wengine
Ni mambo gani yanayoonyesha kwamba Yehova ni mkarimu zaidi kuliko wote?
Yoh 3:16; Mdo 17:25; Ro 6:23; Yak 1:17
Tazama pia Zb 145:15, 16; 2Ko 9:15
Ni utoaji gani ambao haumfurahishi Mungu?
-
Masimulizi ya Biblia yanayohusika:
-
Mwa 4:3-7; 1Yo 3:11, 12—Kwa nini dhabihu ya Kaini haikukubaliwa na Mungu?
-
Mdo 5:1-11—Anania na Safira waliadhibiwa kwa sababu walisema uwongo kuhusu zawadi waliyotoa na hawakuwa na nia inayofaa
-
Ni utoaji gani unaomfurahisha Mungu?
Mt 6:3, 4; Ro 12:8; 2Ko 9:7; Ebr 13:16
Tazama pia Mdo 20:35
-
Simulizi la Biblia linalohusika:
-
Lu 21:1-4—Yesu anampongeza mjane maskini kwa kutoa mchango kwa ukarimu ingawa ulikuwa kiasi kidogo sana cha pesa
-
Wakristo wa karne ya kwanza walifanya mipango gani ya kutoa michango?
Mdo 11:29, 30; Ro 15:25-27; 1Ko 16:1-3; 2Ko 9:5, 7
-
Masimulizi ya Biblia yanayohusika:
-
Mdo 4:34, 35—Kutaniko la Kikristo laonyesha ukarimu, na mitume wanahakikisha kwamba wenye uhitaji wananufaika
-
2Ko 8:1, 4, 6, 14—Huduma ya kutoa msaada inapangwa kwa ajili ya Wakristo wenye uhitaji
-
Wakristo wana jukumu gani muhimu kuelekea familia zao na waabudu wenzao?
Ro 12:13; 1Ti 5:4, 8; Yak 2:15, 16; 1Yo 3:17, 18
Tazama pia Mt 25:34-36, 40; 3Yo 5-8
Biblia inatoa mwongozo gani kuhusu kuwatunza maskini?
Ni nini kinachoonyesha kwamba watu wanahitaji msaada wa kiroho zaidi ya kitu kingine chochote?
Mt 5:3, 6; Yoh 6:26, 27; 1Ko 9:23
Tazama pia Met 2:1-5; 3:13; Mhu 7:12; Mt 11:4, 5; 24:14
-
Simulizi la Biblia linalohusika:
-
Lu 10:39-42—Yesu anamsaidia Martha aelewe kwamba mambo ya kiroho yanapaswa kutangulizwa
-