Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Kuwasaidia Wengine

Kuwasaidia Wengine

Ni mambo gani yanayoonyesha kwamba Yehova ni mkarimu zaidi kuliko wote?

Ni utoaji gani ambao haumfurahishi Mungu?

Mt 6:​1, 2; 2Ko 9:7; 1Pe 4:9

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

Ni utoaji gani unaomfurahisha Mungu?

Mt 6:​3, 4; Ro 12:8; 2Ko 9:7; Ebr 13:16

Tazama pia Mdo 20:35

  • Simulizi la Biblia linalohusika:

    • Lu 21:​1-4—Yesu anampongeza mjane maskini kwa kutoa mchango kwa ukarimu ingawa ulikuwa kiasi kidogo sana cha pesa

Wakristo wa karne ya kwanza walifanya mipango gani ya kutoa michango?

Mdo 11:​29, 30; Ro 15:​25-27; 1Ko 16:​1-3; 2Ko 9:​5, 7

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mdo 4:​34, 35—Kutaniko la Kikristo laonyesha ukarimu, na mitume wanahakikisha kwamba wenye uhitaji wananufaika

    • 2Ko 8:​1, 4, 6, 14—Huduma ya kutoa msaada inapangwa kwa ajili ya Wakristo wenye uhitaji

Wakristo wana jukumu gani muhimu kuelekea familia zao na waabudu wenzao?

Biblia inatoa mwongozo gani kuhusu kuwatunza maskini?

Ni nini kinachoonyesha kwamba watu wanahitaji msaada wa kiroho zaidi ya kitu kingine chochote?

Mt 5:​3, 6; Yoh 6:​26, 27; 1Ko 9:23

Tazama pia Met 2:​1-5; 3:13; Mhu 7:12; Mt 11:​4, 5; 24:14

  • Simulizi la Biblia linalohusika:

    • Lu 10:​39-42—Yesu anamsaidia Martha aelewe kwamba mambo ya kiroho yanapaswa kutangulizwa