Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Wakristo

Wakristo

Wafuasi wa Yesu walianzaje kujulikana kuwa Wakristo?

Ni nini kinachowatambulisha Wakristo wa kweli?

Wakristo wa kweli wanaokolewa kwa msingi gani?

Kwa nini Wakristo wanajitiisha chini ya Kristo akiwa Mfalme wao wa mbinguni?

Kwa nini Wakristo wa kweli hawajihusishi na mambo ya ulimwengu huu?

Kwa nini Wakristo wa kweli wanatii serikali?

Ro 13:​1, 6, 7; Tit 3:1; 1Pe 2:​13, 14

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

Ni katika maana gani Wakristo ni wanajeshi?

Kwa nini Wakristo wanahitaji kuishi kulingana na imani yao?

Mt 5:16; Tit 2:​6-8; 1Pe 2:12

Tazama pia Efe 4:​17, 19-24; Yak 3:13

  • Simulizi la Biblia linalohusika:

Kwa nini Wakristo wa kweli wanapaswa kuwa mashahidi wa Yehova Mungu?

Kwa nini Wakristo wa kweli pia ni mashahidi wa Yesu Kristo?

Kwa nini Wakristo wote wa kweli wanapaswa kuwa wahubiri wa habari njema?

Wakristo wanapaswa kuwa na maoni gani kuhusu mateso?

Tazama “Mateso

Je, Wakristo wote wa kweli wataenda kuishi mbinguni pamoja na Yesu Kristo?

Wakristo wengi wa kweli wana tumaini gani la wakati ujao?

Je, Wakristo wa kweli wanapatikana katika madhehebu ya dini zinazodai kuwa za Kikristo?

Je, watu wanaodai kuwa Wakristo ni wafuasi wa kweli wa Yesu?

Mt 7:​21-23; Ro 16:​17, 18; 2Ko 11:​13-15; 2Pe 2:1

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mt 13:​24-30, 36-43—Yesu anatoa mfano unaonyesha kwamba kungekuwa na Wakristo wengi wa uwongo

    • 2Ko 11:​24-26—Mtume Paulo anawaorodhesha “ndugu wa uwongo” kuwa miongoni mwa hatari alizokabili

    • 1Yo 2:​18, 19—Mtume Yohana anaonya kwamba tayari “wapinga-Kristo wengi” walikuwa wameacha kweli